Tabibu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Doctor examining child, Seattle, circa 1970s (20851540008).jpg|thumb|300px|Tabibu akichungulia masikio ya mtoto]]
'''Tabibu''' (
Tabibu anashirikiana na watu wengine waliojifunza sehemu za [[elimu]] ya [[afya]] na tiba kama vile [[wauguzi]], [[wataalamu]] wa [[tibamaungo]], [[tibaredio]] au [[uchunguzi wa maabara]],
Kwa kawaida tabibu anatakiwa kutimiza masomo ya tiba kwenye [[chuo kikuu]] kwa miaka kadhaa. Masomo
==
Mara nyingi tabibu huitwa "[[daktari]]" ingawa hii si [[jina]] la elimu maalumu, bali ni [[cheo]] cha mtu aliyeonyesha kiwango cha juu katika
Jina la kimila kwa tabibu ni "[[mganga]]". [[Tamaduni]] zote za [[dunia]] zilikuwa na waganga waliopata elimu ya [[tiba ya
Kote duniani [[kifo|vifo]] vilipungua na watu kufikia [[umri]] mkubwa zaidi baada ya kupatikana kwa matabibu waliosoma tiba ya kisayansi.
{{mbegu-tiba}}
[[jamii:Tiba]]
[[Jamii:Kazi]]
|