Kizio astronomia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{jaribio}}
'''Kizio astronomia''' ([[ing.]] Astronomical Unit AU) ni kipimo cha umbali
Urefu wake ni mita 149,597,870,691 au kwa kifupi takriban [[kilomita]] milioni 150. Umbali huu ni sawa na wastani wa umbali kutoka kitovu cha [[Dunia]] hadi kitovu cha [[Jua]].
Vipimo vilivyo kawaida duniani kama [[kilomita]] vinaweza kutumiwa katika astronomia lakini vinaleta namba kubwa mno. Hivyo astronomia imebuni vipimo vyake vinavyorahisisha kutaja umbali wa magimba katika [[anga
63,241.077 vizio astronomia vinafanya mwaka wa nuru 1.
Mstari 45:
|}
[[Chombo cha angani]] kilichofika mbali hadi sasa ni "[[Voyager 1]]". Mwaka
==Tanbihi==
<references/>
==Viungo vya Nje==
|