Kutubu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 16:
| majina mbadala = <small> 1 Ursae Minoris, HR 424, BD +88° 8, HD 8890, SAO 308, FK5 907, GC 2243, ADS 1477, CCDM J02319+8915, HIP 11767</small>
}}
''' Kutubu ''' (lat. & ing. '''Polaris''' au '''Pole Star''', pia '''<big>α</big> Alfa Ursae Minoris''', kifupi '''Alfa Umi''', '''α Umi''') ni nyota angavu zaidi katika kundinyota la [[Dubu Mdogo (kundinyota)|Dubu Mdogo]] (''[[:en:Ursa Minor (constellation)|Ursa Minor]]''). Nyota hii iko karibu sana na nukta ya [[Ncha ya anga |ncha ya kaskazini ya angani]] na kabla ya kupatikana kwa teknolojia ya kisasa ilikuwa nyota muhimu kwa ajili ya mabaharia
==Jina==
Kutubu
Kwa matumizi ya kimataifa [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] ulikubali jina la [[Kilatini]] na kuorodhesha nyota hii kwa jina la "Polaris" <ref>[https://www.iau.org/public/themes/naming_stars/ Naming Stars], tovuti ya [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (Ukia), iliangaliwa Novemba 2017</ref>.
Mstari 28:
Kutubu iko kwa umbali wa [[miaka ya nuru]] takriban 323 - 433 kutoka [[Jua]] letu, tofauti ya namba inatokana na vipimo vinavyoofautiana hadi sasa bila kupata usuluhisho<ref>Turner & alii (2013)</ref>. [[Mwangaza unaoonekana]] ni mag 1.98.
Kutubu ni [[nyota
Kutubu ilitambuliwa kwenye mwaka 1780 na [[William Herschel]] kwa darubini kuwa [[nyota pacha]] yaani mfumo wa nyota mbili za α Umi A na α Umi B. Wakati ule [[darubini]] ya Herschel ilikuwa kati ya vifaa bora duniani. Kwa kutumia [[Darubini ya Angani ya Hubble]] ilitambuliwa kwenye mwaka 2006 ya kwamba pia nyota ya A yenyewe ni nyota pacha na sasa Polaris yote inajulikana kama mfumo wa nyota tatu zinazoitwa α Umi A<sup>1</sup>, α Umi A<sup>2</sup> na α Umi B.
Nyota kuu ni Kutubu A<sup>1</sup> (Polaris Aa) ambayo ni [[nyota
==Kutubu kama Nyota ya Ncha ya Kaskazini==
Mtazamaji kwenye nusutufe ya kazkazini ya Dunia anaona nyota
Katika kumbukumbu za kale si Kutubu iliyoangaliwa kuwa nyota ya kuonyesha mwelekeo wa kaskazini. Ptolemaio aliitaja kama « kwenye mkia wa Dubu Mdogo » <ref>Toomer (1984), uk. 341</ref> Miaka 2000 iliyopita nyota iliyokuwa karibu zaidi na ncha ya kaskazini ya anga ilikuwa Kochab (β Ursae Minoris ). Kutokana na [[kusogea kwa mhimili wa mzunguko]] (ing. [[:en:precession]]) pia Kutubu imefika katika nafasi hii takriban miaka 400 iliyopita na bado inaendelea kukaribia hadi mwaka 2100; baadaye itaendelea polepole kusogea tena mbali na ncha ya kaskazini ya anga. Baada ya miaka 12,000, nyota ya Vega katika [[Kinubi (kundinyota)|Kinubi]] itakuwa nyota ya ncha ya kaskazini jinsi ilivyowahi kuwa miaka 14,000 iliyopita.
{| class="wikitable sortable"
|