Wanyama wa nyumbani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya Anjakretfep (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
No edit summary
Mstari 19:
*5. Kwato za wanyama hawa hutumika kutengenezea vyombo kama [[sahani]],[[vibakuli]], na kadhalika.
*6. Mavi ya wanyama hutumika kama [[mbolea]] ambayo huwezesha [[mazao]] kukua haraka na kustawi vizuri.
*7. Wanyama pia hutumika kwa [[tiba]]. Wagonjwa wanaohitaji wanyama katika matibabu yao hupewa ruhusa maalum kusafiri na kuishi na wanyama hata sehemu ambazo wanyama hawakubaliwi.
 
Wanyama wana faida nyingi sana; hizi ni chache tu. Wanyama hao hutoa pia faida za kihisia kama mazoezi, mahusiano ya kijamii na n.k. Wanyama hawa huondoa upweke kwa watu wasiokuwa na marafiki au mahusiano ya kijamii kama [[wazee]], [[watoto]], [[Ujauzito|wajawazito]]. Wanyama wengine huwatembelea [[wagonjwa]].
Line 24 ⟶ 25:
Wanyama hawa hufundiswa jinsi ya kufanya vitu vya kisayansi, kwa kulenga wagonjwa.
 
Hivyo tunaweza kuona faida za wanyama hao: inafaa tuwatunze vizuri kwani tunawategemea katika shughuli mbalimbali za kijamii na za kiuchumi. Hivyo hawatakiwi kupigwa ovyo. Wanatakiwa waangaliwe afya zao na kupata mahitaji yao.
 
== Tanbihi ==
1. Wanyama hawatakiwi kupigwa.
{{marejeo}}
2. Wanyama wanatakiwa waangaliwe afya zao.
 
3. Wanyama wanatakiwa kupata mahitaji yao.
== Marejeo ==
* https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_domesticated_animals
* https://en.wikipedia.org/wiki/Pet
* https://en.wikipedia.org/wiki/Animal-assisted_therapy
* https://en.wikipedia.org/wiki/Domestication
* https://en.wikipedia.org/wiki/Captive_breeding
 
{{mbegu-utamaduni}}