Nzi-matunda Mdogo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
 
Mstari 16:
| bingwa_wa_familia = [[Camillo Róndani|Róndani]], 1856
| subdivision = '''Nusufamilia 2:'''
* ''[[Drosophilinae]]'' <small>Róndani, 1856</small>
* ''[[Steganinae]]'' <small>[[Friedrich Georg Hendel|Hendel]], 1917</small>
}}
'''Nzi-matunda wadogo''' ni [[nzi]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Drosophilidae]] katika [[oda]] [[Diptera]] wanaotaga [[yai|mayai]] katika [[tunda|matunda]], yale yaliyoanza kuoza ama yaliyopata madhara hasa, na katika maada nyingine ya mimea inayooza. Nzi-matunda wa familia [[Tephritidae]] ni wakubwa zaidi na hutaga mayai yao katika matunda yasiyooza.