Sarafu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
d Masahihisho aliyefanya 196.249.102.194 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 3:
'''Sarafu''' ([[kar.]] '''<big>صرافة</big>''' ''badilisha'') ni kipande cha metali iliyotolewa na serikali ya nchi kama namna ya [[pesa]]. Mara nyingi sarafu ina umbo la [[duara]] kama kisahani. Kuna pia sarafu za pembe tatu, pembe nne au pembe zaidi.
 
Zamani sarafu ilikuwa umbo la kawaida ya pesa. Sarafu za kwanza zinazojulikana dunia zimepatikana kutoka [[Lydia]] katika [[Anatolia]] ya Magharibi iliyokuwa wakati ule sehemu ya utamaduni wa [[Wagiriki wa Kale]]. Sarafu zilitengenezwa hasa kwa kutumia metali ya thamani kama [[dhahabu]] na [[a2wfedha]], pia ya [[shaba]] na wakati mwingine ya [[chuma]]. Thamani ya sarafu ililingana na kiasi fulani cha metali hizi.
 
Siku hizi sehemu kubwa ya fedha inatolewa kama [[noti]] yaani kama [[karatasi]].