Mwese : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
kunyosha nyongeza kisarufi na kitahajia |
||
Mstari 18:
}}
'''Mwese''' ni
<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Katavi - Mpanda District Council]</ref> Kata ya Mwese inashabihiana na mkoa wa Kilimanjaro kuanzia [[kilimo]] cha [[migomba]] na [[kahawa]]. Katika kata ya Mwese pia wanatumia [[vinywaji]] maarufu vinavyopatikana Kilimanjaro kama vile [[mbege]].▼
Kata ya Mwese ilianzishwa na Wachgga waliopelekwa hapa na serikali ya Julius Nyerere kwenye miaka ya mwanzo ya 1970 walioleta kilimo cha [[migomba]] na [[kahawa]].
Pia wapo wachache wanaotokana na [[kabila]] la [[Watutsi]] na [[Wakikuyu]] ambao walibakia Tanzania baada ya [[Uhuru]]. ▼
▲Pia wapo wachache wanaotokana na
▲
▲Kati ya vivutio vya kitalii kwenye kata ya Mwese kuna [[mto]] ambao unajulikana kama [[Mto Mapacha]] ambao unaaminika kuwa wanaokunywa [[maji]] yake basi wakikutana wana uwezekano mkubwa wa kupata [[watoto]] [[Mapacha|pacha]]; sehemu kubwa ya wakazi wa Mwese wamebarikiwa mapacha.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Mbegu-jio-katavi}}
{{Kata za Wilaya ya Wilaya ya Mpanda Vijijini}}
|