Rasi ya Yucatan : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
'''Yucatan''' (tamka ''yu-ka-tan'') ni [[rasi]] kubwa huko [[Amerika Kaskazini]] (au [[Amerika ya Kati]], inategemea kama unaiona pekee na kaskazini). Rasi hii inatenganisha [[Bahari ya Karibi]] na [[Ghuba ya Meksiko|Ghuba ya Mexico]].
Sehemu ya [[kaskazini]] ya rasi hiyo iko ndani ya [[Meksiko]], ikigawiwa
[[Kasoko ya Chicxulub]] iko kwenye [[pwani]] ya kaskazini. Ilisabishwa na pigo la [[asteroidi]]
==Historia==
Kabla ya kufika kwa [[Wahispania]], Yucatan ilikuwa eneo la [[ustaarabu]] wa [[Wamaya]]. Walikuwa na [[miji]] mingi kama [[Chichen Itza]], [[Tulum]] und [[Uxmal]], na [[milki]] ndogo mbalimbali. Wahispania walivamia eneo kuanzia [[mwaka]] [[1527]] hadi [[1547]]
Katika [[karne ya 19]], baada ya kuporomoka kwa [[ukoloni]] wa Hispania, nchi za Amerika ya Kati zilipata [[uhuru]] na eneo la Yucatan liligombaniwa kati ya Meksiko na Gutemala. Mwaka [[1841]] Yucatan ilitangaza uhuru wake ikitawaliwa na [[Wakreoli]] (wakazi wenye asili ya [[Hispania]]) bila kushirikisha Wamaya. Wamaya wazalendo walitumia nafasi ya kuanzisha [[vita]] ya kupigania uhuru wao katika vita ndefu kuanzia mwaka [[1847]] hadi [[1901]]. Mafanikio ya Wamaya yalisababisha Jamhuri ya Yucatan kurudi Meksiko, na hatimaye [[jeshi]] la Meksiko lilifaulu kugandamiza upinzani wa Wamaya.
Kwa miaka mingi sehemu za Yukatan zilikuwa chini ya mamlaka ya kijeshi hadi maeneo yake yalipewa hadhi ya kuwa majimbo kamili ya kujitawala ndani ya Meksiko.▼
▲Kwa miaka mingi sehemu za Yukatan zilikuwa chini ya [[mamlaka]] ya kijeshi hadi maeneo yake yalipewa [[hadhi]] ya kuwa majimbo kamili ya kujitawala ndani ya Meksiko.
{{mbegu-jio}}
[[Jamii:Jiografia ya Meksiko]]
[[Jamii:Jiografia ya Guatemala]]
|