Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Protected "Magharibi" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho)) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:CompassRose16_W.png|thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha magharibi katika hali ya mkoozo (W = "West" = magharibi)]]
'''Magharibi''' ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya [[dira]]. Mwelekeo wake ni upande wa [[machweo]] ya [[jua]].
Jina "magharibi" limetokana na neno la [[Kiarabu]] مَغْرِب ''maghrib'' linalomaanisha sehemu upande wa machweo.
Magharibi kawaida huwa upande wa kushoto kwenye [[ramani]]. [[Tanzania]] iko upande
Kwa maana ya kiutamaduni kuna
Wakati wa [[vita baridi]] magharibi ilikuwa [[kifupi]] cha [[Ubepari|nchi za kibepari]] zilizofuata mtindo wa [[demokrasia]] kinyume na mashariki iliyomaanisha nchi za [[ukomunisti|kikomunisti]].
== Tazama pia ==
Mstari 16:
* [[Kusini]]
* [[Mashariki]]
{{mbegu-jio}}
|