Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Protected "Magharibi" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
No edit summary
 
Mstari 1:
[[File:CompassRose16_W.png|thumb|250px|right|Alama za dira zikionyesha magharibi katika hali ya mkoozo (W = "West" = magharibi)]]
'''Magharibi''' ni moja kati ya mielekeo minne mikuu ya [[dira]]. Mwelekeo wake ni upande wa [[machweo]] ya [[jua]].
 
MagahribiMagharibi ni pia neno[[jina]] la kutaja [[saa]] ya sala[[Sala|swala]] ya [[jioni]] ya [[Waislamu]] na sala hiiswala yenyewe.
 
Jina "magharibi" limetokana na neno la [[Kiarabu]] مَغْرِب ''maghrib'' linalomaanisha sehemu upande wa machweo.
 
Magharibi kawaida huwa upande wa kushoto kwenye [[ramani]]. [[Tanzania]] iko upande mwawa magharibi yawa [[Bahari Hindi]], [[Burundi]] iko upande wa magharibi yawa Tanzania, na nchi ya [[Malawi]] iko upande mwawa magharibi yawa [[Msumbiji]].
 
Kwa maana ya kiutamaduni kuna uzoefumazoea ya kutaja [[utamaduni]] wa [[Ulaya]] pamoja na [[Marekani]] (ambayo ni [[mtoto]] wa utamaduni wa Ulaya) kama "[[ustaarabu wa magharibi]]", kinyume chake ni "[[mashariki]]" kwa maana ya [[Asia]].
 
Wakati wa [[vita baridi]] magharibi ilikuwa [[kifupi]] cha [[Ubepari|nchi za kibepari]] zilizofuata mtindo wa [[demokrasia]] kinyume na mashariki iliyomaanisha nchi za [[ukomunisti|kikomunisti]].
 
== Tazama pia ==
Mstari 16:
* [[Kusini]]
* [[Mashariki]]
 
 
{{mbegu-jio}}