Mbuga ya Patagonia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Cerros Madre e Hija.jpg|right|thumb|300px| Sehemu ya jangwa kwenye magharibi yamwa Mbuga ya Patagonia, ambako mvua inazuiliwainazuiwa na milima ya Andes.]]
'''Mbuga ya Patagonia''', (pia '''Jangwa la Patagonia''') ni eneo kubwa lenye [[tabianchi]] [[yabisi]] yaani pakavukavu likiwa na [[kilometa za mraba]] 673,000. Linapatikana katika [[Patagonia]] ambayo ni sehemu ya [[kusini]] ya [[Argentina]]. Upande wa [[magharibi]] unapakanwaunapakana na [[milima]] ya [[Andes]] na upande wa [[mashariki]] na [[Atlantiki|Bahari Atlantiki]].
 
Tabianchi inabadilika kutoka magharibi kwenda mashariki. Eneo lote liko kwenye [[kivuli cha mvua]] cha milima ya Andes ambayo inalazimisha [[upepo]] kutoka [[Pasifiki]] kuachana na [[mvua]] yake upande wa magharibi; kwa hiyo sehemu za magharibi karibu na milima ni kavu zaidi, wakati mwingi chini ya [[milimita]] 100 za mvua kwa mwaka. Sehemu hizihizo zinaonyesha [[tabia]] ya [[jangwa]] kabisa. KadriKadiri Patagonia inaeneainavyoenea upande wa mashariki na kukaribia Atlantiki, mvua hungezekahuongezeka kiasi, ingawa hata upande huuhuo si zaidi ya milimita 300 kwa mwaka. Kadiri Kadri [[usimbishaji]] unaongezekaunavyoongezeka, [[Uoto asilia|uoto]] unbadilikaunabadilika kuwa na [[vichaka]] hadi [[mbuga]] ya manyasi[[nyasi]]. <ref>The Physical Geography of Patagonia and Tierra del Fuego. Andrea M. J. Coronato, Fernando Coronato, Elizabeth Mazzoni and Mirian Vazquez</ref>
[[Picha:Cerros Madre e Hija.jpg|right|thumb|300px| Sehemu ya jangwa kwenye magharibi ya Mbuga ya Patagonia, ambako mvua inazuiliwa na milima ya Andes.]]
'''Mbuga ya Patagonia''', pia '''Jangwa la Patagonia''' ni eneo kubwa lenye tabianchi yabisi yaani pakavu likiwa na kilometa za mraba 673,000. Linapatikana katika [[Patagonia]] ambayo ni sehemu ya kusini ya [[Argentina]]. Upande wa magharibi unapakanwa na milima ya [[Andes]] na upande wa mashariki na [[Atlantiki|Bahari Atlantiki]].
 
Upepo mfululizo kutoka magharibi, upande wa Pasifiki, unakausha [[ardhi]].
Tabianchi inabadilika kutoka magharibi kwenda mashariki. Eneo lote liko kwenye [[kivuli cha mvua]] cha milima ya Andes ambayo inalazimisha upepo kutoka Pasifiki kuachana na mvua yake upande wa magharibi; kwa hiyo sehemu za magharibi karibu na milima ni kavu zaidi, wakati mwingi chini ya milimita 100 za mvua kwa mwaka. Sehemu hizi zinaonyesha tabia ya jangwa kabisa. Kadri Patagonia inaenea upande wa mashariki na kukaribia Atlantiki, mvua hungezeka kiasi ingawa hata upande huu si zaidi ya milimita 300 kwa mwaka. Kadri usimbishaji unaongezeka, uoto unbadilika kuwa na vichaka hadi mbuga ya manyasi. <ref>The Physical Geography of Patagonia and Tierra del Fuego. Andrea M. J. Coronato, Fernando Coronato, Elizabeth Mazzoni and Mirian Vazquez</ref>
 
Upande wa [[kaskazini]] jangwa unabadilikalinabadilika polepole kuwa mbuga inayoitwa ''pampa'' katika Argentina.
Upepo mfululizo kutoka magharibi, upande wa Pasifiki, unakausha ardhi.
 
Upande wa kaskazini jangwa unabadilika polepole kuwa mbuga inayoitwa pampa katika Argentina.
 
==Tanbihi==
<references/>
{{mbegu-jio-Argentina}}
 
[[Jamii:Jiografia ya Argentina]]
[[Jamii:Jangwa]]