Mafua ya kawaida : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Dalili na ishara: kiungo |
No edit summary |
||
Mstari 13:
}}
'''Mafua ya kawaida'''
Maambukizo makali ya pua , mianzi ya pua , koo au zoloto (maambukizi ya sehemu ya juu ya njia ya hewa (URI au URTI)) inabainishwa na eneo la mwili ambao umeathirika zaidi. Mafua ya kawaida yanaathiri pua, yanavimbisha kolomeo, koo, na yanavimbisha mianzi ya pua. Dalili zinatokana na mfumo wa kinga unavyopambana na maambukizi na sio kwa sababu ya uharibifu wa seli mwilini unaoletwa na virusi. Kuosha mikono ni njia ya msingi ya kuzuia maambukizi. Kuna ushahidi unaounga mkono uvaaji kitamba usoni ni bora zaidi.
|