Petro wa Anagni : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Petro wa Anagni''' (alifariki tarehe 3 Agosti 1105) anakumbukwa kama askofu mwenye juhudi wa mji huo (Italia ya Kati). Ka...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Petro wa Anagni''' (alifarikializaliwa [[tareheSalerno]], [[Campania]] - alifariki [[3 Agosti]] [[1105]]) anakumbukwa kama [[askofu]] mwenye juhudi wa [[mji]] [[Anagni|huo]] ([[Italia ya Kati]]) kwa muda wa miaka 43<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/93385</ref>.
 
Kabla ya hapo aliishi kama [[mmonaki]] kati ya [[Wabenedikto]] hadi alipoitwa na [[kardinali]] [[Papa Gregori VII|Ildebrando wa Soana]] kuhamia [[Roma]].
 
[[Papa Paskali II]] alimtangaza [[mtakatifu]] [[tarehe]] [[4 Juni]] [[1110]]<ref name="fenicchia2">Vincenzo Fenicchia, BSS, vol. X (1968), col. 663.</ref>.
 
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe ya [[kifo]] chake.<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>