Kimbunga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Hurricane Katrina August 28 2005 NASA.jpg|thumb|right|
'''
Inaanza juu ya bahari ya kitropiki penye maji yenye halijoto juu ya 26 [[°C]]. Hewa joto yenye [[mvuke]] nyingi inaanza kupanda juu na kuzunguka. Mzunguko huo unaongezeka kasi kuwa dhoruba. Kasi ikifikia mwendo wa 117 km/h inaitwa
Kila sehemu ya dunia kimbunga kina jina lake na majina haya yameanza kutumiwa kimataifa:
==Hatari za tufani==▼
*Katika eneo la Atlantiki (Karibi hasa) kimbunga huitwa hurikan (kiing. Hurricane)
Tufani inaweza kusababisha hasara kubwa ikigusa [[meli]] baharini na zaidi mwambaoni inapofikia nchi kavu au visiwa. ▼
*katika eno la Pasifiki kimbunga huitwa taifuni (kiing. Typhoon)
*katika eneo la Bahari Hindi na penginepo jina la saikloni (cyclone) limetumiwa mara nyingi
Hatari zake ni hasa kasi ya [[upepo]] pamoja na kiasi kikubwa cha [[mvua]]. Kasi ya upepo inaweza kurusha vitu vizito kama miti, paa za nyumba au magari na kuvirusha mbali. Watu huuawa na mali kuharibiwa. Uwingi wa mvua husababisha mifuriko.▼
▲
▲Hatari zake ni hasa kasi ya [[upepo]] pamoja na kiasi kikubwa cha [[mvua]]. Kasi ya upepo inaweza
==Majina ya
Vimbunga hutokea mara kwa mara katika kipindi cha joto. Wataalamu wameanza kuvipa majina kwa kurahisisha maelewano. Katika eneo la kila bahari kuna utaratibu wa pekee wa kutolea majina kwa vimbunga kufuatana na mapatano ya wanasayansi.
[[Atlantiki]] kwa mfano inaona takriban tufani kumi au zaidi kila mwaka. Zinapewa majina kufuatana [[alfabeti]]. Imekuwa kawaida tangu [[1979]] kutumia majina ya kiume na ya kike kwa kubadilishana (zamani zilipewa majina ya kike tu lakini wanawake walilalamika). ▼
▲[[Atlantiki]]
Wataalamu wanatumia orodha sita ya majina hivyo jina linaweza kurudia baada ya miaka sita.
[[Category:Maafa asilia]]
|