Abiria : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:NaraStationPlatform0297.jpg|thumb|Hawa ni abiriaAbiria wakisubiri [[treni]].]]
'''Abiria''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]] عبر ''ˁabara'' kwa maana ya kuvuka eneo la [[maji]]) ni [[watu]] wanaosafiri kwa kupanda [[meli]], [[Ndege (uanahewa)|ndege]], [[gari]], [[basi]], [[pikipiki]] au [[treni]].
 
Abiria hutumia vyombo hivihivyo vya usafiri kama njia ni mbali, au kama hawana usafiri wa binafsi au kama wanapendelea matumizi ya usafiri wa umma kuliko usafiri wao wa binafsi.
 
Kwa kawaida wakipanda wanalipia kiasi fulani cha [[nauli]] ili mwenye chombo hicho aweze kuwalipa [[dereva]] na wahudumu wengine pamoja na [[gharama]] za chombo chenyewe na matumizi yake.
 
{{mbegu-mtu}}
 
[[Jamii:Watu]]
[[Jamii:Usafiri]]