Kata (chombo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
''--Kwa kata kama jina la ngazi ya utawala tazama [[kata (eneo)]]--''
'''Kata''' ni chombo maalum kitumiwacho na [[makabila]] mengi nchini [[Tanzania]], hasa na [[Wachagga]] huko mkoani [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]]. Kata hutumika kunywea [[pombe]] iitwayo [[mbege]].
===Matengenezo===
Kata hutengenezwa kwa kutumia [[matunda]] jamii ya [[tikiti]] yaitwayo [[kibuyu|vibuyu]]. Matunda
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
[[Category:Vifaa]]
|