Oksidi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Oksidi''' ni kampaundi ya kikemia yenye angalau atomu 1 ya oksijeni pamoja na angalau atomu moja wa elementi nyingine. Mifano ya oksidi ni pamo...' Tag: 2017 source edit |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 11:32, 24 Februari 2021
Oksidi ni kampaundi ya kikemia yenye angalau atomu 1 ya oksijeni pamoja na angalau atomu moja wa elementi nyingine.
Mifano ya oksidi ni pamoja na:
- Maji (oksidi ya hidrojeni) (H2O)
- Kutu (oksidi ya chuma)(Fe2O3)
- Dioksidi kabonia (CO2)
- Monoksidi kabonia (CO)
- Oksidi ya alumini (Al2O3)
Metali nyingi hupatikana kama mitapo ambamo metali kama chuma inapatikana kwa umbo la oksidi.