Waarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Holder (majadiliano | michango)
d corr using AWB
Created by translating the page "Arabs"
Mstari 1:
{{mashaka}}
[[Picha:Arab world.png|thumb|350px|Wanachama za Jumuiya ya Nchi za Kiarabu<br />'''Kijani nyeusi:''' wakazi wengi hutumia Kiarabu<br />'''Kijani nyeupe:''' maeneo ya nchi wanachama ambako wenyeji hawatumii Kiarabu kama lugha ya kwanza<br />'''kijani milia:'''wasemaji wa Kiarabu ni wachache; katika Jibuti, Somalia na Komori si lugha rasmi ya serikali]]
 
'''Waarabu''' (Kiarabu عَرَبِ, <small>matamshi ya Kiarabu:</small> [ʕarabi]) ni watu ambao lugha yao ya asili ni [[Kiarabu]] na kujitambua vile.
Leo duniani kuna watu wengi sana wanaojinasibisha na '''Waarabu''' wakiwa wanaishi Bara Arabu au Mashariki ya Kati au kwengineko ulimwenguni. Watu hawa ambao wanatafautiana baina yao kirangi na kimaumbile na kisura wote wanadai kuwa ni Waarabu au asli zao ni za Kiarabu. Walakini, ni nani hasa hawa Waarabu na nini asli yao?
{{vyanzo}}
== Asli ya Waarabu: ==
 
Kiasili walikuwa watu wa [[Bara Arabu]] na maeneo jirani katika [[Syria]] na [[Iraki]]<ref>{{Cite book|url=https://www.upenn.edu/pennpress/book/15372.html|title=Nationalism, Language, and Muslim Exceptionalism|last=Mabry|first=Tristan James|date=2015|publisher=University of Pennsylvania|isbn=9780812246919|pages=53-85|access-date=23 May 2021}}</ref> lakini tangu kuja kwa [[Uislamu]] walienea nje ya eneo asilia hasa katika [[Afrika ya Kaskazini]] na nchi za [[Mashariki ya Kati]] ambako walijichangaya na wenyeji wambao wengi wao wamepokea lugha ya Karabu tangu karne nyingi na kujitazama kama Waarabu pia.
Waarabu wote ulimwenguni wanatokana na jadi moja ambaye ni mtoto wa Nabii Nuh aitwaye Sam, lakini baadaye waligawanyika katika makundi matatu:
 
Kutokana na uhamiaji wako pia katika Afrika ya Mashariki, Visiwa vya Komoro na visiwa vingine vya [[Bahari ya Hindi|Bahari Hindi]], [[Amerika]], [[Ulaya ya Magharibi|Ulaya Magharibi]], [[Indonesia]], [[Uhindi]] na [[Uajemi|Iran]] . <ref name=":0">{{Cite book|title=Music and media in the Arab world|date=2010|publisher=The American University in Cairo Press|isbn=978-977-416-293-0|editor-last=Frishkopf|editor-first=Michael|edition=1st|location=Cairo}}</ref> <ref>{{Cite book|title=Main characteristic and development trends of migration in the Arab world|last=Bureš|first=Jaroslav|date=2008|publisher=Institute of International Relations|isbn=978-80-86506-71-5|location=Prague}}</ref> <ref name="Arab People">{{Cite web|title=Arab (People)|url=https://www.britannica.com/topic/Arab|accessdate=19 December 2020|work=Britannica}}</ref> <ref>{{Cite book|title=Main characteristic and development trends of migration in the Arab world|last=Bureš|first=Jaroslav|date=2008|publisher=Institute of International Relations|isbn=978-8086506715|location=Prague}}</ref> <ref>Chapter 4. Modern Standard Arabs". Nationalism, Language, and Muslim Exceptionalism, Philadelphia: University of Pennsylvania Press, 2015, pp. 53-85. https://doi.org/10.9783/9780812291018.53</ref>
1- Waarabu (Al-Baida):
 
Dini ya [[Uislamu]] ulianzia kati ya Waarabu na hivyo Kiarabu ndio lugha ya Qurani na maandiko ya Kiislamu, na Waarabu wengi ni [[Mwislamu|Waislamu]] . Walakini kati ya Waialmu wote Waarabu ni kama asilimia 20% tu. <ref>{{Cite web|url=https://berkleycenter.georgetown.edu/essays/demographics-of-islam|title=Demographics of Islam|accessdate=28 September 2020|archivedate=9 October 2020|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201009120840/https://berkleycenter.georgetown.edu/essays/demographics-of-islam}}</ref>
Nao ni Waarabu ambao leo hawako tena ulimwenguni kwa sababu ni kaumu zilizoangamizwa na Mwenyezi Mungu baada ya kukataa kufuata maamrisho yake na kwenda kinyume na Mitume yao, nao ni: Kaumu ya Hud ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la A'ad, na kaumu ya Saleh ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la Thamud. Kaumu mbili hizi ziliangamizwa na Mwenyezi Mungu kwa kumuasi na kutofuata amri na maelekezo ya Mitume yao, na waliobakia katika makundi haya mawili ndio waliokuja kufanya makundi ya Waarabu wanaojulikana kwa jina la Waarabu (Al-A'ariba).
 
Kihistoria Waarabu walitajwa mara ya kwanza mara ya kwanza wakati wa [[karne ya 9 KK]] kama makabila kwenye mashariki na kusini mwa [[Syria]] na kaskazini mwa Bara Arabu. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=-cRrGQ8bIAkC|title=The Ituraeans and the Roman Near East: Reassessing the Sources|last=Myers|first=E. A.|date=11 February 2010|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-1-139-48481-7|page=18}}</ref> Waarabu wanaonekana walikuwa chini ya wafalme wa [[Ashuru|Milki ya Ashuru]] (911-612 KK), na baadaye chini ya [[Babeli|Milki ya Babeli]] iliyofuata (626-539 KK), [[Uajemi ya Kale#Waakhameni|Waakhemi]] (539-332 KK), Seleukidi na Waparthi. <ref></ref> Katika karne ya 3 KK Waarabu wa Nabatea waliunda ufalme wao karibu na [[Petra]] katika Yordani ya leo. Makabila ya Kiarabu kama Waghassanidi na Walakhmidi huanza kuonekana katika jangwa la Syria Kusini kuanzia katikati ya [[Karne ya 3 KK|karne ya 3 BK]] wakiunda milki zao zilizoshirikiana na [[Dola la Roma]] na Wasasani. Hadi karne ya 7 sehemu ya Waarabu hasa wa magharibi mwa eneo lao walikuwa Wakristo, wengine pia Wayahudi.
2- Waarabu (Al-A'ariba):
 
Baada ya Muhamad, [[Khalifa#Makhalifa wanne wa kwanza|makhalifa wa kwanza]] (632-661 BK) waliunganisha Waarabu wote chini ya utawala wao. wakaendelea kuvamia milki jirani za Dola la Roma na Uajemi ya Wasasani. Kote walianza kutumia [[Kiarabu|lugha ya Kiarabu]] kama lugha ya utawala. Makabila mengi kutoka Bara Arabu yalianza kuhamia katika nchi zilizovamiwa katika hiyo milki kubwa ya Kiislamu iliyoenea kutoka [[Moroko]] na [[Hispania]] upande wa maghararibi hadi mipaka ya [[China]] na [[Uhindi]] upande wa mashariki.<ref>{{Cite book|title=A history of the Arab peoples|last=Ruthven|first=Albert Hourani; with a new afterword by Malise|date=2010|publisher=Belknap Press of Harvard University Press|isbn=978-0-674-05819-4|edition=1st Harvard Press pbk.|location=Cambridge, Mass.}}</ref> <ref>{{Cite book|url=https://www.google.com/books?id=IVyMAvW9slYC&pg=PA137#v=onepage&q&f=false|title=Islam: The Religion and the People|last=Bernard Ellis Lewis|last2=Buntzie Ellis Churchill|date=2008|publisher=Pearson Prentice Hall|page=137|quote=At the time of the Prophet's birth and mission, the Arabic language was more or less confined to Arabia, a land of deserts, sprinkled with oases. Surrounding it on land on every side were the two rival empires of Persia and Byzantium. The countries of what now make up the Arab world were divided between the two of them—Iraq under Persian rule, Syria, Palestine, and North Africa part of the Byzantine Empire. They spoke a variety of different languages and were for the most part Christians, with some Jewish minorities. Their Arabization and Islamization took place with the vast expansion of Islam in the decades and centuries following the death of the Prophet in 632 CE. The Aramaic language, once dominant in the Fertile Crescent, survives in only a few remote villages and in the rituals of the Eastern churches. Coptic, the language of Christian Egypt before the Arab conquest, has been entirely replaced by Arabic except in the church liturgy. Some earlier languages have survived, notably Kurdish in Southwest Asia and Berber in North Africa, but Arabic, in one form or another, has in effect become the language of everyday speech as well as of government, commerce and culture in what has come to be known as "the Arab world."|access-date=21 August 2017}}</ref> Katika karne zilofuata, wakazi wengi wa maeneo hayo walianza kuwa Waislamu na kutumia Kiarabu kama lugha ya kidini na ya kielimu; hasa katika sehemu kubwa ya Afrika Kaskazini pamoja na Misri na katika nchi za Asia Magharibi (hasa nchi za leo Syria, Lebanoni, Iraki) wenyeji wengi walianza kutumia Kiarabu kama lugha yao na hivyo kuitwa Waarabu.
Nao ni Waarabu waliotokana na mtoto wa Nabii Hud (AS) ajulikanaye kwa jina la Qahttaan na kutokana na kizazi chake ndio hawa Waarabu wanaoitwa Al-A'ariba wakaenea kila upande. Waarabu hawa ambao makabila yao makubwa wakati huo yalikuwa ni Himyar na Kahlaan walikuwa wakiishi Yemen na kuwa na ufalme na ustaarabu mkubwa mpaka yalipotokea mafuriko makubwa hapo Yemen yakawatawanya
na kuwasukuma kwenda sehemu nyengine mbali mbali za Bara Arabu na Shamu na Iraqi na Misri na Afrika Mashariki.
 
Kwa karne nyingi Waarabu hao walitawaliwa na [[Milki ya Osmani]]<ref>"[http://www.nzhistory.net.nz/war/ottoman-empire/arab-revolt The Arab Revolt, 1916-18 | The Ottoman Empire]." ''New Zealand History''. [[Ministry for Culture and Heritage]]. 30 July 2014.</ref> . Baada ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] (1914-1918) milki hiyo ilivunjwa na kugawiwa kwa maeneo ya nchi za Kiarabu za leo<ref>{{Cite book|title=Frontiers of the state in the late Ottoman Empire : Transjordan, 1850–1921|last=Rogan, Eugene L.|date=2004|publisher=Cambridge University Press|isbn=978-0-521-89223-0|oclc=826413749}}</ref> ambazo kwa muda mfupi zilitawaliwa bado kama koloni au [[nchi lindwa]] chini ya Uingereza na Ufaransa.
3- Waarabu (Al-Mustaariba):
 
Mwaka 1945 nchi hizo ziliunda [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]].<ref name="History">"[http://www.history.com/this-day-in-history/arab-league-formed Arab League formed | This Day in History — 3/22/1945]." ''[[History.com|HISTORY]]''. US: [[A&E Television Networks]]. 2010. Retrieved on 28 April 2014.</ref>
Nao ni Waarabu waliotokana na Nabii Ismail (AS) ambaye aliletwa na babake Nabii Ibrahim (AS) na kuwekwa katika bonde la Makka pamoja na mamake Hajar na kuachwa hapo kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Nabii Ismail hakuwa Mwarabu lakini baada ya kukaa hapo Makka na kutifuka chemchemu ya Zamzamu, walikuja Waarabu wa Kiyemeni wa kabila la Jurhum na walipoona maji hapo waliomba kubakia hapo na ndipo Nabii Ismail akakulia kwenye kabila hilo na kujifunza Kiarabu na kuoa katika kabila hilo. Kwa hivyo, kizazi chake kiliinukia kuwa Waarabu kwa kuchanganyika na kabila la Waarabu na wakawa wanajulikana kama Waarabu Al-Mustaariba.
 
== Maskani ya Waarabu ya asli ==
 
Leo hii Waarabu kimsingi hukalia nchi 22 wanachama wa [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]]. Nchi hizo zinaenea kwa kilomita za mraba milioni 13 kutoka [[Atlantiki|bahari ya Atlantiki]] upande wa magharibi hadi [[Bahari ya Kiarabu]] katika mashariki na kutoka [[Bahari ya Mediteranea|Bahari ya Mediterranean]] katika kaskazini hadi [[Pembe ya Afrika]] na [[Bahari ya Hindi]] katika kusini. Watu wasio Waarabu wakitumia lugha zao za pekee huishi pia katika nchi hizo, wakati mwingine wakiwa wengi. Hawa ni pamoja na [[Wasomali]], [[Wakurdi]], [[Waberberi]], Waafar, [[Nubia|Wanubi]] na wengineo .
Waarabu, kama tulivyoeleza hapo nyuma, mwanzo walikuwa wakiishi Yemen lakini baadaye wakaanza kutawanyika kwenye sehemu nyenginezo za [[Bara Arabu]], na kwa kuwa wengi wao walikuwa wakiishi maisha ya kibedui ya kusafiri kutoka mahali pamoja kwenda kwengine kutafuta chakula na maji kwa nafsi zao na wanyama wao, waliweza kuenea sehemu zote za [[Bara Arabu]] na kufika Shamu na Iraqi na Misri na Afrika ya Mashariki na Afrika ya Kaskazini.
 
Kutawanyika huku kulizidi kuwa na kasi baada ya kuvunjika bwawa lao kubwa lililokuwa Maarib huko Yemen lililokuwa likilimbika maji mengi kwa ajili ya ukulima na mabustani yao na malisho ya wanyama wao, na mtawanyo mkubwa wa pili ni baada ya kuja Uislamu na kuhitajia kupeleka watu sehemu mbali mbali ulimwenguni kueneza dini hii. Hapo ndipo Waarabu walipotawanyika kila mahali ulimwenguni kueneza neno la Mwenyezi Mungu na kufikisha ujumbe wake, na ndiyo maana leo tunaona Waarabu katika kila bara la mabara ya ulimwengu.
 
==Kwa Ulimwenguupande wa dini, Waarabu leohuwa na tofauti kati yao. ==
 
Katika zama za kabla ya Uislamu, Waarabu wengi walifuata dini za [[Dini ya miungu mingi|kuabudu miungu mingi.]] Makabila kadhaa yalikuwa yamekubali [[Ukristo]] au [[Uyahudi]] na watu wachache waliotwa ''hanif'' walisemekana kuwa na imani kwa Mungu mmoja. <ref name="auto">{{Cite book|url=https://archive.org/details/formationofislam0000berk|title=The Formation of Islam: Religion and Society in the Near East, 600–1800|last=Berkey, Jonathan Porter|publisher=[[Cambridge University Press]]|year=2003|isbn=978-0-521-58813-3|page=[https://archive.org/details/formationofislam0000berk/page/42 42]|url-access=registration}}</ref>
Waarabu, leo, wako kila mahali ulimwenguni, lakini kila ukikaribia kwenye kitovu cha dunia ambacho kiko Bara Arabu, Uarabu unazidi kudhihirika zaidi na lugha yao inazidi kuwa fasihi zaidi na hapa ndipo ada na mila zao zinazidi kuhifadhiwa na kutiliwa mkazo. Aidha, Waarabu wanaishi kwenye nchi zaidi ya ishirini za Mashariki ya Kati, ikiwemo Bara Arabu na Shamu na Iraqi na nchi za Ghuba ya Uajemi (Uarabu) na Afrika ya Kaskazini na Mashariki. Kuna ushirikiano katika [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]].
 
Leo, karibu asilimia 93 za Waarabu ni wafuasi wa [[Uislamu]] <ref>{{Cite web|title=Arabs facts, information, pictures|work=Encyclopedia.com articles about Arabs|date=21 April 2018|url=https://www.encyclopedia.com/social-sciences-and-law/anthropology-and-archaeology/people/arabs|accessdate=9 May 2018}}</ref>. Kuna pia Wakristo kama jumuiya ndogo zaidi. <ref>{{Cite web|url=http://www.pewforum.org/2014/04/04/global-religious-diversity/|title=Religious Diversity Around The World – Pew Research Center|date=4 April 2014|work=Pew Research Center's Religion & Public Life Project}}</ref> Waislamu Waarabu kimsingi ni wa [[Wasunni|madhehebu]] ya [[Wasunni]], [[Washia|Washiia]], Waibadi na [[Alawite|Waalawi]].
== Idadi ya Waarabu ulimwenguni ==
 
Wakristo wa Kiarabu kwa ujumla hufuata moja ya [[Ukristo wa Mashariki|Makanisa ya Kikristo ya Mashariki]], kama yale yaliyo ndani ya [[Waorthodoksi wa Mashariki|makanisa ya Orthodox ya]] [[Makanisa Katoliki ya Mashariki|Mashariki, makanisa Katoliki ya Mashariki]], au makanisa ya Kiprotestanti ya Mashariki. <ref name="PharesIntro">{{Cite web|first=Walid|author=Phares|authorlink=Walid Phares|url=https://www.arabicbible.com/for-christians/christians/1396-arab-christians-introduction.html|title=Arab Christians: An Introduction|publisher=Arabic Bible Outreach Ministry|date=2001}}</ref> Kuna pia idadi ndogo ya Wayahudi wa Kiarabu ambao bado wanaishi katika nchi za Kiarabu lakini wengi wao waliondoka kwao wakihamia Israeli au nchi nyingine za Ulaya na Amerika. Sehemu ya Wakristo katika nchi za Kiarabu hawajitambui kuwa Waarabu kwa mfano [[Wakopti]] au [[Waashuri]].
Waarabu ulimwenguni wanahesabiwa kuwa idadi yao imefikia mia tatu milioni (180,000,000), ijapokuwa kuna idadi kubwa vile vile ya watu wa makabila mengine ambao wanaishi kwenye nchi za Kiarabu kama Mairani na Wahindi na Maarmani na Mayahudi na Mabarbari na Waafrika na Mabulushi na Makurdi na Waturuki na wengineo. Kwa upande mwengine, kuna Waarabu wengi sana ambao wametawanyika
katika nchi mbali mbali za dunia kwenye mabara yote ya ulimwengu.
 
== Wajiitao Waarabu leo ==
 
[[Jamii:Waarabu|*]]
Leo ulimwenguni kuna watu wanaojinasibisha na Waarabu kwa sababu hizi zifuatazo:
[[Jamii:Makala zisowekewa maelezo ya vyanzo]]
 
# Kila anayeishi katika nchi ya Kiarabu na kuwa na uraiya wa nchi ya Kiarabu
# Kila anayezungumza Kiarabu na kufuata mila na ada za Kiarabu
# Kila ambaye anajua kuwa asli yake na ya wazee wake ni Waarabu hata ikiwa hajui Kiarabu
 
== Dini ya Waarabu ==
 
Watu wengi sana ulimwenguni wanafikiria na kuchukulia kuwa dini ya Waarabu ni [[Uislamu]], lakini ukweli ni kwamba kuna Waarabu wengi ambao ni [[Wakristo]], na hii ni kwa sababu kabla ya kuja Uislamu.
 
Waarabu walikuwa wakifuata dini mbali mbali za Kiyahudi na Kikristo na Kimajusi na wengineo walikuwa hawana dini kabisa au dini za kienyeji, na juu ya kuwa wengi waliingia kwenye dini ya Uislamu baada ya kuja Mtume [[Muhammad]] (SAW), lakini wale walioamua kubakia kwenye dini zao hawakulazimishwa kuingia kwenye Uislamu na ndio maana leo tunaona kuna Waarabu Wakristo sehemu za [[Syria]] na [[Lubnani]] na [[Iraqi]] na [[Misri]] na kwengineko.
 
== Lugha ya Kiarabu ==
 
Lugha ya Kiarabu ilienea baada ya kuja Uislamu na kufika sehemu nyingi duniani kwa sababu ya watu kutaka kujua dini yao na kuweza kusoma Qurani Tukufu na kujua maneno ya Mtume wao Muhammad (SAW), na kwa kuwa imetawanyika sehemu nyingi za Mashariki ya Kati kumezuka lahaja mbali mbali ambazo mara nyengine ni taabu kufahamika baina ya watu wa sehemu fulani na wengineo wa nchi nyenginezo. Juu ya hivyo, kuna lahaja zilizo karibu kama lahaja za Shamu na lahaja za Ghuba na za Bara Arabu na lahaja za Afrika ya Kaskazini na lahaja ya Misri na Sudani.
 
[[Jamii:Waarabu|*]]