Vita vya kwanza vya Italia na Ethiopia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 8:
Mnamo Mei 1889 Menelik alifanya [[mkataba wa Wuchale]] alimokubali [[utawala]] wa [[Italia]] juu ya kanda ya [[pwani]] pamoja na maeneo kadhaa ya [[nyanda za juu]] za [[Tigray]] yakiwemo [[mazingira]] ya [[Asmara]] ya leo.
Italia ilidai, kutokana na [[nakala]] ya [[Kiitalia]] ya [[mkataba]] huo, [[haki]] ya [[ulinzi]] juu ya Ethiopia<ref
Italia ilijibu kwa kuvamia Ethiopia kwa jeshi kubwa mnamo Oktoba [[1895]]. Menelik aliweza kukusanya takriban wanajeshi 100,000 na kuwaongoza hadi Tigray (jimbo jirani na Eritrea)<ref>
Mapigano ya kwanza ndani ya Tigray ya [[Amba Alagi]] ([[7 Desemba]]) na ya [[Mekelle]] hayakuenda vizuri kwa Waitalia. Waethiopia walishindwa kuteka [[boma]] la Mekelle, lakini Waitalia walifungwa ndani kwa [[wiki]] tatu. Mwishowe waliondoka baada ya mapatano na Negus Menelik II na kurudi Eritrea<ref> Prouty, Chris (1986). Empress Taytu and Menilek II: Ethiopia 1883–1910. Red Sea Press, uk. 144–151</ref>.
|