Kanisa kuu la Santiago de Compostela : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Catedral de Santiago de Compostela agosto 2018 (cropped).jpg|350px|thumb|Kanisa kuu kwa nje.]]
'''Kanisa kuu la Santiago de Compostela''' ni [[kanisa]] mashuhuri lililoko [[Santiago de Compostela]], huko [[Galicia (SpainHispania)|Galicia]] nchini [[Hispania]]. Umaarufu wake unatokanaumetokana kwanza na [[imani]] kwamba hapa likolina [[kaburi]] la [[Yakobo Mkubwa|Mtakatifu Yakobo Mkubwa]] aliyekuwa labda mdogo wa [[Yesu]] na mmoja wa [[Mitume wa Yesu|mitume wake]].
 
[[Jina]] la [[Kihispania]] "Santiago" ni [[kifupi]] cha "Mtakatifu Yakobo" (IagoTiago = Yakobo),.
'''Kanisa kuu la Santiago de Compostela''' ni kanisa mashuhuri huko [[Galicia (Spain)|Galicia]] nchini [[Hispania]]. Umaarufu wake unatokana na imani kwamba hapa liko kaburi la [[Yakobo Mkubwa|Mtakatifu Yakobo Mkubwa]] aliyekuwa mdogo wa Yesu na mmoja wa mitume wake.
 
==Historia==
Jina la Kihispania "Santiago" ni kifupi cha "Mtakatifu Yakobo" (Iago = Yakobo),
Mahali palianza kutambuliwa kama kaburi la mtume huyo mnamo [[mwaka]] [[814]]. Mwaka [[829]] kanisa la kwanza lilijengwa hUKO<ref>[[Santiago de Compostela Cathedral#Por03|Portela Silva 2003]]: p.&nbsp;54</ref>.
 
Mahali palianza kutambuliwa kama kaburi la mtume mnamoMnamo mwaka 814 na mwaka 829 kanisa la kwanza lilijengwa hapa<ref>[[Santiago de Compostela Cathedral#Por03|Portela Silva 2003997]]: p.&nbsp;54</ref>.kanisa Mnamo mwaka 997 kanisahilo liliharibiwa katika mashambulio ya [[jeshi]] la Kiarabu[[Waarabu]] na baada ya kuwafukuzahao Waarabukufukuzwa katika sehemu hiyo ya Hispania, kanisa lilijengwa upya katoa miaka ya [[1075]] hadi [[1211]]<ref name="Bra235">[[Santiago de Compostela Cathedral#Bra99|Bravo Lozano 1999]]: p.&nbsp;235</ref>. Jengo hilo liliendelea kuwa shabaha ya wahiji Wakristo kutoka pande zote za Ulaya.
 
[[Jengo]] hilo liliendelea kuwa shabaha ya [[hija|wahiji]] [[Ukristo|Wakristo]] kutoka pande zote za [[Ulaya]].
Kanisa lilipanuliwa na kupambwa kwenye karne za 16, 17 na 18.
 
Kanisa lilipanuliwa na kupambwa kwenye [[Karne ya 16|karne za 16]], [[karne ya 17|17]] na [[karne ya 18|18]].
Jengo ni muundo wa Mtindo wa Kiroma na nyongeza za [[Mtindo wa kigothi|Kigothi]] na [[Baroko]] baadaye.
 
Jengo ni muundo wa [[Mtindo wa Kiroma]] na nyongeza za [[Mtindo wa kigothi|Kigothi]] na wa [[Baroko]] baadaye.
Kanisa limepokelewa na [[UNESCO]] katika orodha ya [[Urithi wa Dunia]]-.
 
Kanisa limepokelewalimepokewa na [[UNESCO]] katika orodha ya [[Urithi wa Dunia]]-.
 
== Marejeo ==
Line 17 ⟶ 21:
 
== Viungo vya Nje ==
 
** {{Official website|http://www.catedraldesantiago.es}}
** [http://www.sciences.univ-nantes.fr/physique/perso/gtulloue/Meca/Oscillateurs/botafumeiro.html Reconstruction of the swinging motion of the Botafumeiro]
Line 25 ⟶ 28:
** [http://cdm16028.contentdm.oclc.org/cdm/compoundobject/collection/p15324coll10/id/111171 The Art of medieval Spain, A.D. 500-1200], an exhibition catalog from The Metropolitan Museum of Art Libraries (fully available online as PDF), which contains material on Santiago de Compostela Cathedral (p.&nbsp;175-183)
** [https://www.youtube.com/watch?v=rOoHyEEXxoA Video clip in Youtube]
*
[[Jamii:Galicia]]
[[Jamii:Makanisa ya Hispania]]