Mwezi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{maana nyingine|Mwezi (maana)}}
[[Picha:Earth-Moon System.jpg|right|thumb
[[Picha:NASA-Apollo8-Dec24-Earthrise.jpg|right|thumb
'''Mwezi''' (alama: [[file:Moon decrescent symbol (bold).svg|16px|☾]]) ni [[gimba la angani]] linalozunguka [[sayari]], [[sayari kibete]] au [[asteroidi]] fulani. Kuna miezi mingi katika [[anga-nje]]. Vipindi vya kuonekana kwa mwezi wa Dunia vilisababisha matumizi ya "mwezi" kama majira ya wakati.
Mabadiliko ya kuonekana kwake yalisababisha katika [[Kiswahili]] [[neno]] "mwezi" litumike kama kipindi cha wakati. Awamu zake nne pengine ndizo chanzo cha [[Juma|majuma]] ya [[siku]] [[Saba (namba)|sabasaba]].
|