Adelaide wa Italia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 20:16, 17 Julai 2006
Adelaide wa Italia (takriban 931 – 16 Desemba 999) alikuwa binti wa [[Rudolf II], mfalme wa Burgundia. Kwanza aliolewa na Lothar, mfalme wa Italia. Alipofariki Lothar, Adelaide aliolewa na Otto I, mfalme wa Ujerumani. Aliishi maisha matakatifu. Sikukuu yake ni 16 Desemba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |