Babeli : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Detail des Ischtar-Tors von Babylon.jpg|thumb|200px|right|Sehemu ya geti ya Ishtar ya Babeli]]
'''Babeli''' ilikuwa mji wa nyakati za kale katika [[Mesopotamia]]. MagofuMaghofu yake hupatikana karibu na mji wa kisasa wa [[Al Hillah]] ([[Irak]]) kando ya mto [[Frati]] 90 km kusini mwa [[Baghdad]]. Babeli ilikuwa mji muhimu wa Mesopotamia kwa karne nyingi na mji mkuu wa milki iliyotawala maeneo makubwa ya [[Mashariki ya Kati]]. Inatajwa mara nyingi katika [[Biblia]].
 
Orodha ya wafalme wake ilianza mnamo mwaka [[2300 KK]]. Mfalme mashuhuri wa kwanza alikuwa [[Hammurabi]].
 
Babeli ilkuwailikuwa mji mkuu wa madola mawili makubwa kabla na baada ya kipindi cha enzi ya [[Ashuri]]. Kati ya [[1770 KK]] hadi [[1670 KK]] na mara ya pili kati ya [[612 KK]] na [[320 KK]] inaaminiwa ilikuwa mji mkubwa duniani.
 
Wakati wa Dola la Pili la Babeli mfalme [[Nebukadreza II]] alitawala nchi zote kati ya [[Palestina]] ([[Kanaani]]) hadi [[Ghuba ya Uajemi]]. [[Mabustani ya Semiramis|Bustani ya malkia Semiramis]] ilikuwa moja ya [[maajabu saba ya dunia]]. [[Piramidi]] au [[zigurat]] kubwa za mji zilikuwa maarufu na mfano wao ni [[mnara wa Babeli]] unaotajwa katika Biblia.
 
Wakati ule jeshi la Babeli liliteka mji wa [[Yerusalem]] mwaka [[587 KK]], kubomoa [[hekalu ya Suleimani]] na kuwapeleka [[Wayahudi]] hadi Mesopotamia kwa [[uhamisho wa Babeli]]. Inaaminika ya kwamba sehemu kubwa za [[Biblia ya Kiebrania]] ziliandikwa uhamishoni kule Babeli.
 
Mwaka [[539 KK]] Wajemia walivamia Dola la Babeli na kuliteka. Babeli iliendelea kuwa mji muhimu katika Dola la Uajemi. Baada ya ushindi wa Aleksander Mkuu juu ya mfalme Mwajemi [[Darius III]] ilikuwa chini ya utawala wa Wagiriki. Aleksander alikufa Babeli mwaka [[323 KK]] katika jumba la kifalme la Nebukadreza.