Christus Dominus : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
lugha ieleweke hata kwa wasio wakatoliki
No edit summary
Mstari 1:
'''Christus Dominus''' (kilatinini kwamaneno "Kristomawili Bwana")ya nikwanza ya hati yailiyotolewa kwa [[Kilatini]] na [[Mtaguso wa pili wa Vatikano]] kuhusu kazi ya maaskofu. Maneno hayo yana maana ya "Kristo Bwana".
 
Baada ya kufundisha juu ya daraja laya [[uaskofu]] katika hati ya "[[Lumen Gentium]]" [[mtaguso mkuu]] ulitunga hati hii hasa kuhusu kazi ya maaskofu katika ngazi tatu:
*ngazi ya kanisa katoliki duniani
*ngazi ya jimbo (dayosisi)
*ngazi ya kanisa katoliki ndaniy a taifa au nchi fulani
*uhusiano kati ya maaskofu kama viongizi wa majimbo jirani (dayosisi)kanda jiranina nchi)
 
Kwanza kila [[askofu]] atazamiwa kuwa kiungo cha [[kundi la maaskofu]] ambalo linaongozwa na askofu wa [[Roma]] na kuwajibika kulichunga Kanisa zima. Wajibu huo unatimizwa kwa kushiriki katika [[mtaguso mkuu]], ambako ni haki ya maaskofu wote, kuchangia muundo mpya wa [[sinodi ya maaskofu]], kushughulikia kwa hali na mali [[misheni]] na majimbo yasiyo na mapadri au mali za kutosha, kuwaombea maaskofu wafungwa na wanaodhulumiwa, kuchangia katika ofisi za [[papa]].