Mwanzo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 27:
|-
|style="font-size: 1.0em;" bgcolor="#F7F5D3" |
<h3 style="font-size:150%"><em style="color:orange;font-style:normal">&#8226;</em>'''Makala maalum:''' <br><center>'''[[RobertChe MugabeGuevara]]'''</center></h3>
[[Image:MugabecopyGuerrilleroHeroico.jpg|thumb|right|190px150px|RaisChe Robert MugabeGuevara.]]
'''Ernesto Rafael Guevara de la Serna''' au '''Che Guevara''' (* [[14. Mei]] [[1928]] [[Rosario]], [[Argentina]]; † [[9. Oktoba]] [[1967]] [[La Higuera]], [[Bolivia]]) alikuwa mtabibu mzaliwa wa [[Argentina]] aliyekuwa mfuasi wa itikadi za [[Kisoshalisti]] za [[Karl Marx]]. Guevara anajulikana zaidi kwa harakati zake za kimapinduzi dhidi ya tawala za kibepari huko [[Amerika ya Kusini]] na [[Afrika]].
'''Robert Gabriel Mugabe''' (* [[21 Februari]] [[1924]]) amekuwa kiongozi wa [[Zimbabwe]] tangu [[1980]]. Yeye ni mwenyekiti wa chama tawala cha [[ZANU]]. 1980 alikuwa [[waziri mkuu]] na 1987 [[rais]] wa nchi. Kabla ya wakati ule aliongoza upinzani wa ZANU dhidi ya serikali ya walowezi Waingereza nchini waliofuata siasa ya ubaguzi wa rangi.
 
Wakati akisomea utabibu, Che Guevara alizunguka katika nchi mbalimbali za Marekani ya Kusini ambapo alijionea mwenyewe umasikini uliokithiri. Alisikitishwa sana na maisha ya ufukara waliokuwa wakiishi wananchi wengi huku wachache wakiwa wanamiliki mali za nchi hizo. Alifikiria jinsi ya kuweza kubadili hali hii na kuamua kuwa njia pekee ya kuondoa umasikini na ukandamizaji ni mapinduzi. Aliamua kusoma kwa undani falsafa za Karl Marx na baada ya hapo alijihusisha na harakati za kisoshalisti nchini [[Guatemala]] chini ya rais [[Jacobo Arbenzi Guzmán]].
Mugabe alirudiwa katika uchaguzi mbalimbali. Tangu mwaka 2000 uchaguzi hizi zimekuwa mashakani kutokana na matishio na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani. Utawala wa Mugabe umeitwa wa kidikteta tangu mwaka 2002. Kutokana na mashataka dhidi ya serikali ya Mugabe ya kudharau haki za binadamu nchi Zimbabwe ilisimamishwa ndani ya [[Jumuiya ya Madola]]. Mugabe pamoja na mawaziri wake na viongozi wa chama chake hawaruhusiwi kusafiri kwenda nchi za [[Umoja wa Ulaya]] na [[Marekani]].
 
Mwisho mwa miaka ya 1950, Guevara aliungana na [[Fidel Castro]] aliyekuwa akiongoza kundi la kijeshi lililotwaa madaraka kwa nguvu nchini [[Kuba]] mwaka 1959. Guevara alikuwa mmoja wa viongozi wa serikali mpya ya Kuba. Katika kipindi hiki, Guevara aliandika vitabu na makala mbalimbali kuhusu nadharia na vitendo vya vita vya msituni kwa nia ya kuondoa madarakani tawala za kibepari na kibeberu.
Mwanzoni wa utawala wake Mugabe alisifiwa kujenga uchumi na sera ya elimu nchini. Zimbabwe ilikuwa nchi iliyouza vyakula vingi nje. Tangu mwanzo wa milenia mpya pamoja na mashtaki ya udikteta hali ya uchumi ulirudi nyuma. Takriban milioni mbili za raia wa Zimbabwe wameondoka nchini wakikaa kama wakimbizi [[Afrika Kusini]].
*[[Che Guevara|Soma zaidi kuhusu Che Guevara]].
 
Mugabe ametangazwa upya na chama cha ZANU kama mgombea wa urais katika uchaguzi wa 2008.
<h3 style="font-size:100%"><em style="color:orange;font-style:normal">&#8226;</em>'''Ujenzi'''</h3>
[[Ujenzi]] -