Chura : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 18:
Maisha ya chura inaanza kama yai lililotegwa kwenye maji pamoja na mayai maelfu. Anatoka kwa umbo la [[ndumbwi]] (pia: kiluwiluwi) ambayo ni [[funzo]] ya chura anaendelea na kipindi cha kwanza cha maisha yake katika maji. Anapumua kwa [[yavuyavu]] na mwanzoni hana miguu bali [[mapezi]] kama [[samaki]] na mkia. Viluwiluwi wengi wakiwa kwenye maji wanakula majani au mwani hata kama baadaye kama chura mzima wanakula wanyama wengine.
Baada ya muda kiluwiluwi anakuza miguu minne na
Umbo linaelekea kufanana zaidi na zaidi chura mzima.
|