Jimbo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Jimbo]] ni kitengoeneo chafulani eneolililotengwa piakwa kitengoajili chaya kurahisisha utawala ndani ya [[dola]], pia uchungaji ndani ya muundo wa utawala wa [[kanisaKanisa]].
 
Majimbo huwa na madaraka mbalimbali, na uzoefumazoea wakatika matumizi ya neno hili ni tofauti kati ya nchi na nchi.
 
Mara nyingi jimbo ni eneo lenye kiwango kikubwa cha kujitawala hasa majimbo ndani ya muundo wa [[shirikisho]]; mifano michache tu ni majimbo ya [[Afrika Kusini]], [[Nigeria]], [[Marekani]] au [[Ujerumani]].
 
Wakati mwingine "jimbo" ni jina la kihistoria tu hata pasipohalina madaraka ya kiutawala tena.
Mifano michache tu ni majimbo ya [[Afrika Kusini]], [[Nigeria]], [[Marekani]] au [[Ujerumani]].
 
Vilevile ndani ya Kanisa jina linatumiwa tofauti na [[madhehebu]].
 
Katika ushirika wa [[Anglikana]] ni jumla ya majimbo kadhaa inayojitegemea (kwa mfano Jimbo la Tanzania linaunganisha [[dayosisi]] zote na nchi hiyo).
Wakati mwingine "jimbo" ni jina la kihistoria tu hata pasipo madaraka ya kiutawala tena.
 
[[Kanisa Katoliki]] linatumia neno jimbo kwa maana ya [[dayosisi]].
 
Kumbe kwa [[Walutheri]] jimbo ni sehemu tu ya dayosisi, ingawa inajumuisha sharika kadhaa.
 
[[Category: Ugawaji wa nchi]]
[[Category:Ukristo]]
{{mbegu}}