Abedi Amani Karume : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d viungo vya tarehe na miaka tu |
||
Mstari 1:
'''Sheikh Abeid Amani Karume''' alikuwa Rais wa kwanza wa [[Zanzibar]]. Alizaliwa mwaka [[1905]] na kufariki
Karume aliongoza mapinduzi yaliyomwangusha [[Sultani]] aliyekuwa akitawala Zanzibar hapo mwaka 1964. Baada ya miezi mitatu Zanzibar iliungana na [[Tanganyika]] iliyokuwa ikiongozwa na [[Mwalimu Nyerere]]. Baada ya muungano wa nchi hizi mbili uliozaa jina la [[Tanzania]], Karume alikuwa makamu wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
|