Wilaya ya Nzega Vijijini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Marejeo ya Nje: + Jamii:Wilaya ya Nzega using AWB
Mstari 4:
Imepakana na [[wilaya ya Kahama]] ([[mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]]) upande wa kaskazini-magharibi, [[wilaya ya Tabora mjini]] upande wa kusini na [[wilaya ya Igunga]] upande wa mashariki.
 
Wilaya hii ina eneo la 9,226 [[km<sup>2</sup>]] na sehemu kubwa ni ardhi yenye rutba inayofaa kwa kilimo. Inapokea mvua milimita 9,000 kwa mwaka.
 
Sehemu kubwa ya eneo ni misitu inayozaa takriban 15,000 [[m<sup>3</sup>]] za ubao, makaa na kuni. Kuna mito inayozaa samaki na milambo 13. Mto muhimu ni mto Igombe unaovuka wilaya yote.
 
==Wakazi==