Shule : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Chizongwe Secondary School.jpg|thumb|right|350px|Shule ya Sekondari ya Kifundi Chizongwe mjini [[Chipata]] - [[Zambia]]]]
[[Picha:ZambianSchool2.JPG|thumb|right|350px|Shule ya MmsingiMsingi mashambani nchini [[Zambia]]]]
'''Shule''' (kutoka [[Kijerumani]]: '''Schule'''; katikanchini [[Kenya]] na [[Zanzibar]]: '''skuli''' kutoka [[Kiing.Kiingereza]] "school") ni taasisi au jengo ambako watu hufunzwa habari za elimu. Pia ni jina la majengo yake.

Leo hii katika nchi nyingi watoto wanatakiwa waende shule kujifunza mambo ya msingi ambayo watayahitaji kwa maisha yao ya baadaye .
 
Mambo hayo ni masomo. Kila somo lina fahamu zake tofauti katika kufundisha. Kwa mfano: [[kuandika]], [[kusoma]], na kuhesabu namba ([[hisabati]]).
Line 8 ⟶ 10:
 
Katika nchi nyingi masomo ya shule hupangwa kwa ngazi kufuatana na umri wa wanafunzi:
# Shule ya vijiduduchekechea au vidudu au watoto wadogo chini ya umri wa miaka 6
# Shule ya Msingi kuanzia umri wa miaka 6 kwa muda usiopungua 4 hadi 8
# Shule ya Sekondari (nchini [[Kenya]] huitwa pia "Shule ya Upili") inayofuata baada ya shule ya msingi inawafunza wanafunzi hadi umri wa miaka 17, 18 au 18zaidi. Kwenye ngazi ya sekondari kuna mikonomikondo mbalimbali inayoweka uzito kwa maeneo tofauti-tofauti ya elimu kadrikadiri ya vipaji na uwezo wa wanafunzi.
 
Ngazi ya juu inayopatikana katika mfumo huu ni mtihani unaoandaa kwa kuingia katika ngazi ya juu ya elimu kwenye vyuo na [[Chuo Kikuu]].
 
Kwa kawaida, mbali ya shule zinazoendeshwa na [[serikali]], zipo nyingi zinazoendeshwa na [[dini]] na taasisi za binafsi.
Pamoja na hayo kuna shule zinazowalenga watu wazima au watu ambao hawakuendelea moja kwa moja katika elimu yao. Nchi kadhaa huweka mkazo kwa shule ya ufundi inayolenga kuwapa wanafunzi wake elimu nzuri katika fani fulani ya kibiashara au kifundi.
 
Pamoja na hayo kuna shule zinazowalenga watu wazima au watu ambao hawakuendelea moja kwa moja katika elimu yao.
 
Pamoja na hayo kuna shule zinazowalenga watu wazima au watu ambao hawakuendelea moja kwa moja katika elimu yao. Nchi kadhaa huweka mkazo kwa shule ya ufundi inayolenga kuwapa wanafunzi wake elimu nzuri katika fani fulani ya kibiashara au kifundi.
 
 
{{mbegu-elimu}}
 
[[Jamii:ShuleElimu]]
[[Jamii:Mafunzo]]
 
[[ar:مدرسة]]