Mplamu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza sanduku la uainishaji |
Nyongeza picha |
||
Mstari 11:
| oda = [[Rosales]] (Mimea kama mwaridi)
| familia = [[Rosaceae]] (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
| nusufamilia = [[
| jenasi = ''[[Mplamu|Prunus]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|L.]]
Mstari 17:
| spishi= nyingi
}}
'''Mplamu''' ni [[mti]] wa [[jenasi]] ya
Matunda ya mplamu au [[plamu|maplamu]] yaliyokomaa huwa na utando mweupe ambao huyapa muonekano wa bafaru hivi lakini hutoka kwa urahisi. Hii huwa ni nta, kitaalamu epicuticular wax, na utando huo hujulikana kama “nta ya kuchanua”
==Spishi==
*Maua ndani ya chipukizi yanajikunja kwa ndani; maua
*Maua ndani ya chipukizi yanajikunja kwa ndani; maua huwa na vikonyo vifupi; matunda laini kama mahameli. Huchukuliwa kamajinasi ndigo inayojitegemea na baadhi ya waandishi.
==Kilimo na matumizi==
Mstari 36:
Plamu huwa katika rangi na ukubwa tofauti. Baadhi huwa na nyama ya ndani ngumu kiasi na mengine huwa na nyama laini na yenye rangi ya njano, nyeupe kijani au nyekundu, na ngozi yenye kubadilika vilevile kulingana na rangi ya nyama ya ndani.
==Picha==
<gallery>
File:Plum blossoms.jpg|Maua
File:Fruits Prunus domestica.jpg|Maplamu mtini
File:Starr 070730-7797 Prunus domestica.jpg|Maplamu mekundu
File:Starr 070730-7799 Prunus domestica.jpg|Maplamu zambarau
File:Prunus domestica italica fruits.jpg|Maplamu kijani (Reine Claude)
File:Mirabellen.jpg|Maplamu njano (Mirabelle)
</gallery>
{{mbegu-mmea}}
|