Vistula (mto) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|Vistula '''Vistula''' (Kipoland: '''Wisła''' ''tamka: viswa'') ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km. Chanzo chake ni katik... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:49, 19 Machi 2007
Vistula (Kipoland: Wisła tamka: viswa) ni mto mkubwa nchini Poland mwenye urefu wa 1047 km.
Chanzo chake ni katika milima ya Beskidi inaishia katika Bahari Baltiki. Inapita kwenye miji mikubwa ya Krakov na Warshawa.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |