Reli ya Kenya-Uganda : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sv:Ugandiska järnvägen |
kiungo |
||
Mstari 23:
===Wafanyakazi kutoka Bara Hindi===
Waingereza waliamua kuchukua wafanyakazi kutoka [[Bara Hindi]] kwa sababu katika majaribio ya kwanza Waingereza hawakuelewana na wenyeji wa pwani ambao waliajiria awali. Kwa ujumla zaidi ya [[Wahindi]] 13,000 walichukuliwa kufanya kazi ya reli. Kwa jumla walitoka hasa katika mikoa ya [[Gujarat]] na [[Panjab]], na lugha hizi zinatumika hadileo katika Afrika ya Mashariki. Wengi walikuwa wafanyakazi wa mkono,lakini wengine pia mafundi na makarani. Wengi walikufa kwa sababu ya ugumu wa kazi, magonjwa, ajali na wanyama
===Mwanzo wa Nairobi===
|