ANC : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 3:
== Kuanzishwa kwa ANC ==
ANC ilianzishwa mjini [[Bloemfontein]] tar. [[8 Januari]] [[1912]] kwa jina la "South African Native National Congress". Jina la "Congress" lilichaguliwa kufuatana na mfano wa chama cha Kinhindi cha "[[Indian National
Chama kilidai haki sawa kwa wakazi wote bila kujali rangi yao. Mwendo huu uliunganisha Waafrika kutoka pande mbalimbali kama vile wasomi, machifu, viongozi wa kanisa na wengine. Wanawake walikubaliwa tangu 1931 na 1943 wakapewa haki zote za uanachama.
|