Nembo ya Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
mpangilio mpya |
||
Mstari 1:
[[Image:Coat of arms of tanzania.svg|thumb|right|200|Nembo ya Tanzania]]
'''Nembo ya Tanzania'''
*Sehemu ya pili huonyesha [[Bendera ya Tanzania]].▼
Ngao ina sehemu nne: juu sehemu ya dhahabu, chini yake bendera ya taifa, halafu sehemu nyekundu na chini kabisa sehemu ya buluu-nyeupe
a) robo ya juu inaonyesha mwenge wa uhuru juu ya rangi ya dhahabu inayokumbusha juu ya utajiri wa madini ya taifa
c) rangi nyekundu inamaanisha ardhi nyekundu ya Afrika na kilimo kama msingi wa maisha ya watu.
d) Milia ya buluu na nyeupe katika robo ya nne inamaanisha mawimbi ya bahari na maziwa kwenye mipaka ya nchi pamoja na bahari inayozunguka Zanzibar kama sehemu ya Jamhuri ya Maungano.
Juu ya sehemu hizi kuna mkuki na majembe mawili yanayokumbusha juu ya utetezi wa uhuru na umuhimu wa kazi katika ujenzi wa taifa.
Ngao yote imeviringishwa na mapembe ya [[ndovu]] yanayomaanisha utajiri wa wanyamapori na hifadhi za taifa.
Ngao inalala juu ya [[mlima Kilimanjaro]] ambayo ni mlima mkubwa wa Tanzania.
Watu wawili wanaoshika ni mwanamume na mwanamke kama dalili ya ushirikiano wa jinsia zote mbili taifani. Wanasimama juu ya mpamba na mkarafuu ambayo yote inazaa mazao muhimu ya kibiashara ya Tanzania Bara kwa pamba na [[Zanzibar]] kwa karafuu.
Kanda njano ya maandishi chini ya ngao huonyesha wito la taifa "Uhuru na Umoja"
==Viungo vya Nje==
|