Alfa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: war:Alpha |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika [[hesabu]] na [[fisikia]]. Imejulikana hasa kama jina la pembe ya kwanza katika [[pembetatu]].
Katika [[
Alfa ikiwa herufi ya kwanza ya alfabeti ya Kigiriki hutumiwa pia kwa kutaja mwanzo. Hivyo ni kinyume cha mwisho au [[omega]]. Usemi wa Biblia hujulikana kuhusu Mungu kuwa ni "Alfa na Omega, mwanzo na mwisho" (Ufunuo wa Yohane 21:6).
|