Protista : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ro:Protista |
nyongeza kidogo |
||
Mstari 1:
[[Picha:Protist collage.jpg|thumb|300px|Protista]]
'''Protista''' ni kundi la [[viumbehai]] vidogo sana ambavyo mara nyingi huwa na [[seli]] moja au seli chache tu.
Mifano ya protista ni [[algae]] (mwani), [[amiba]] na aina za [[kuvu]]. Vilivyo vingi huishi baharini au ndani ya viumbe vingine; kwa hiyo vingine vinaonekana kama chanzo cha magonjwa.
|