Mkoa wa Nyanga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: ku:Nyanga
d Fix langos and minor fixes using AWB
Mstari 1:
{{Unreferenced|date=December 2009}}
[[Image:Gabon-Nyanga.png|right|175px|Mkoa wa Nyanga]]
'''Nyanga''' ni moja kati ya [[mikoa ya Gabon|mikoa]] tisa ya [[Gabon]]. Mji mkuu wa mkoa huu ni [[Tchibanga]], ambao una wakazi takriban 14,500 kwa mwaka wa 2004 (kidogo ni zaidi ya theluthi moja ya jumla la wakazi wa mkoani hapa). Nyanga ni mkoa uliopo kusini sana mwa Gabon na pia ni mkubwa, una wakazi wachache na una maendeleo machache vilevile katika mikoa yote tisa ya nchini Gabon. Mkoa umepakana na [[Ogooué-Maritime]] kwa upande wa kaskazini-magharibi, [[Ngounié]] kwa upande wa kaskazini, na [[Jamhuri ya Kongo|Kongo]] kwa upande wa kusini ([[Kouilou Department|Mkoa wa Kouilou]]) na kwa upande wa mashariki ni ([[Niari|Mkoa wa Niari]]).
 
==Departments==
[[Image:Nyanga departments.png|thumb|right|300px|Departments za Nyanga]]
Nyanga imegawanyika katik departments 4:
*[[Basse-Banio]] ([[Mayumba]])
*[[Douigni]] ([[Moabi]])
*[[Haute-Banio]] ([[Minvoul]])
*[[Mougoutsi]] ([[Tchibanga]])
{{Clear}}
{{Mikoa ya Gabon}}
 
{{mbeguMbegu-jio-Gabon}}
 
[[Jamii:Mkoa wa Nyanga| ]]
[[Jamii:Mikoa ya Gabon]]
 
{{mbegu-jio-Gabon}}
 
[[bg:Нянга]]