George Porter : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
New page: left|80px '''George Porter''' (amezaliwa 6 Desemba, 1920) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza hali za ulinganifu wa [[moleku...
 
+tarehe ya kufariki
Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
 
'''George Porter''' (amezaliwa [[6 Desemba]], [[1920]] – [[31 Agosti]], [[2002]]) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya [[Uingereza]]. Hasa alichunguza hali za ulinganifu wa [[molekuli]]. Mwaka wa [[1967]], pamoja na [[Manfred Eigen]] na [[Ronald Norrish]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Kemia]]'''. Mwaka wa [[1972]] alipewa cheo cha "Sir".
 
{{DEFAULTSORT:Porter, George}}
[[Category:Waliozaliwa 1920]]
[[Category:Waliofariki 2002]]
[[Category:Wanasayansi wa Uingereza]]
[[Category:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]