1920
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1916 |
1917 |
1918 |
1919 |
1920
| 1921
| 1922
| 1923
| 1924
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1920 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
- 10 Januari - Shirikisho la Mataifa linaanza kazi yake.
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 9 Januari - Clive Dunn, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 20 Januari - Federico Fellini, mwongozaji wa filamu kutoka Italia
- 12 Februari - Pran, mwigizaji wa filamu kutoka Uhindi
- 29 Februari - Howard Nemerov, mshairi kutoka Marekani
- 11 Machi - Nicolaas Bloembergen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1981
- 15 Machi - Donnall Thomas, daktari kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1990
- 1 Aprili - Toshiro Mifune, mwigizaji wa filamu kutoka Japani
- 6 Aprili - Edmond Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1992
- 18 Mei - Papa Yohane Paulo II
- 17 Juni - Francois Jacob, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 20 Juni - Amos Tutuola, mwandishi kutoka Nigeria
- 10 Julai - Owen Chamberlain, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959
- 11 Julai - Yul Brynner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 29 Agosti - Charlie Parker, mwanamuziki kutoka Marekani
- 29 Septemba - Peter Mitchell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1978
- 29 Oktoba - Baruj Benacerraf, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 31 Oktoba - Dedan Kimathi (kiongozi Mkenya wa Mau Mau)
- 13 Novemba - Jack Elam, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 6 Desemba - Dave Brubeck, mwanamuziki wa Marekani
- 6 Desemba - George Porter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1967
bila tarehe
- Achieng Oneko, mwanasiasa wa Kenya
WaliofarikiEdit
- 7 Januari - Edmund Barton, Waziri Mkuu wa kwanza wa Australia
- 16 Mei - Levi Parsons Morton, Kaimu Rais wa Marekani (1889-1893)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: