Ali Hassan Mwinyi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ru:Мвиньи, Али Хасан
picha
Mstari 1:
[[Picha:Ali Hassan Mwinyi.jpg|thumb|Ali Hassan Mwinyi]]
'''Ali Hassan Mwinyi''' (amezaliwa [[8 Mei]], [[1925]]) alikuwa Rais wa Pili wa [[Tanzania]] kuanzia 1985 hadi 1995. Aliyemtangulia ni [[Mwalimu Julius Nyerere]], na aliyemfuata ni [[Benjamin Mkapa]]. Kabla hajachaguliwa kuwa Rais, Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Makamu Rais. Pia alikuwa mwenyekiti wa [[Chama Cha Mapinduzi]] (CCM) kuanzia 1990 hadi 1996.