Maradhi ya zinaa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kusafinisha sentensi ya kwanza |
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text) |
||
Mstari 31:
Magonjwa ya zinaa huambukizwa na wakala wa magonjwa – [[bakteria]] wadogowadogo, [[virusi]], [[parasites]], [[fungi]] na [[protozoa]] wakaao katika sehemu vuguvugu na zenye unyevunyevu katika mwili kama vile [[sehemu za siri]], [[mdomoni]] na [[kooni]]. Magonjwa mengi ya zinaa husambaa wakati wa [[kujamiiana]] (katika [[uke]] au mkunduni), lakini aina nyingine za kukutana kimapenzi kama kwa kutumia midomo (''oral sex'') zinaweza kusambaza magonjwa.
Magonjwa mengine ya zinaa yanaweza kusambazwa kwa njia nyingine zaidi ya [[kujamiiana]]. Magonjwa fulani ya zinaa yanayosababishwa na [[virusi]] kama [[
Magonjwa ya zinaa hayawezi kuambukizwa kwa kupeana mikono au kugusana, au kugusa nguo au katika viti vya chooni.
Mstari 106:
=== UKIMWI ===
[[
UKIMWI uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka [[1981]] miongoni mwa wanaume waliokuwa wanaingiliana (mashoga) na miongoni mwa watu waliokuwa wanajidunga sindano katika jiji la [[New York]] na [[California]]. Baadaye maambukizi mengine yaligundulika pia kusini mwa [[jangwa la Sahara]] barani [[Afrika]]. Kwa haraka UKIMWI ukawa [[ugonjwa wa mlipuko]] duniani kote ukiathiri karibia kila nchi. Mpaka mwaka [[2002]], ilikadiriwa kuwa watu wazima wapato milioni 38.6 na watoto milioni 3.2 duania kote wanaishi na [[VVU]] au [[
Wakati [[VVU]] wanaweza kuenezwa kwa njia nyingine, kujamiiana ndiyo njia hasa ya maambukizi ya virusi hivi. Wanawake ambao wameathirika na virusi vya [[
Pamoja na kuenea kwa elimu juu ya ugonjwa huu, CDC wamekadiria kuna maambukizi mapya 40,000 kila mwaka [[Marekani]] na kuwa kwa ujumla kati ya [[Waamerika]] 800,000 hadi 900,000 wameambukizwa [[VVU]].
Mstari 142:
Hata hivyo kuanzia miaka ya [[1950]], huko [[Marekani]] [[kisonono]] kilianza kuenea kutokana na kuongezeka kwa tamaa za ngono. Vijidudu vya ugonjwa viliunda ukinzani dhidi ya [[penicillin]], na mpaka miaka ya [[1970]] na [[1980]] ugonjwa ulifikia hatua ya kuwa ugonjwa wa mlipuko kwa vijana na watu wa [[umri wa kati]].
Kuingia kwa [[VVU]] katika jamii ya [[binadamu]] kumepelekea janga la kimataifa la [[
Majanga ya magonjwa ya zinaa yanaendelea, hata pamoja na [[utumiaji wa kondomu]] ambao umeongezeka tangu kuanza kwa [[
== Angalia Pia ==
* [[
* [[Kisonono]]
* [[Kaswende]]
|