Biomasi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ca:Agromassa
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Panicum virgatum.jpg|thumb|[[Switchgrass]] ni aina ya nyasi inayotumiwa kwa kuzalisha biofueli huko Marekani]]
[[Image:rice chaffs.jpg|thumb|180px|Maganda ya [[mpunga]].]]
'''Biomasi''' ni dhana muhimu katika ekolojia na ni namna ya kuangalia upande wa kimwili wa uhai duniani ni pia dhana muhimu katika maswali ya uzalishaji wa [[nishati]] hasa [[nishati mbadala]].
 
==Jumla ya miili ya viumbehai==
Kimsingi biomasi ni jumla ya miili ya vumbehaiviumbehai vyote duniani.
 
Kiasi kikubwa ni [[mimea]] lakini miili ya [[wanyama]] au [[planktoni]] huhesabiwa mle pia. Vilevile wanyama na mimea iliyokufa, kukauka, kuoza na kadhalika ni sehemu ya biomasi. Sehemu zao hutumiwa na viumbehai vingine kama lishe la kujenga biomasi mpya.
 
Msingi wa biomasi ni mchakato wa [[usanisinuru]] katika mimea ambako nishati ya jua inawezesha mmea kujenga mwili wake kwa kuunganisha kemikali asilia kutoka mazingira yake.