Mofolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 80 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q38311 (translate me) |
+Kuongezea maelezo ya kitaalamu zaidi |
||
Mstari 1:
'''Mofolojia''' (au '''sarufi maumbo''') ni tawi la [[isimu]] ambalo huchunguza maneno ya [[lugha]] fulani na aina zake za maneno, hasa upande wa upangaji wa [[mofimu]] mbalimbali zitumikazo kwa ajili ya kuunda maneno. Mambo ya maneno ni matokeo ya muunganiko wa fonimu mbalimbali ambazo pia huungana na kuunda - hatimaye na kuwa neno. Yaani, Fonimu ---> Silabi ---> Neno.
== Marejeo ==
|