Wikipedia:Mwongozo (Kumbuka) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
+ Yasiyofaa |
||
Mstari 24:
*Si mahali pa '''kujitangaza mwenyewe'''. Kama wewe ni mwandishi, mwimbaji au msanii bora haifai ukieleza ubora wako mwenyewe. Subiri tu kidogo hadi wengine wanakujua na kuimba sifa zako!
** Usianzishe makala juu yako mwenyewe katika sehemu ya kamusi! Unaweza kutumia nafasi ya ukurasa wako wa mtumiaji. Hapa uko huru kuleta habari juu yako. Nje ya hapo ni marufuku!▼
** Usitaje jina lako katika makala kama mwandishi. ▼
▲* Usianzishe makala juu yako mwenyewe katika sehemu ya kamusi! Unaweza kutumia nafasi ya ukurasa wako wa mtumiaji. Hapa uko huru kuleta habari juu yako. Nje ya hapo ni marufuku!
▲* Usitaje jina lako katika makala kama mwandishi.
==Msimamo wa kutopendelea upande==
|