Alfabeti ya Kigiriki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 209.126.98.145 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 31.61.136.93
viungo namba
Mstari 11:
Katika historia ndefu ya alfabeti hii matamshi ya alama yamebadilika pamoja na mabadiliko ya lugha yenyewe. Mwanafunzi wa Kigiriki cha Kale anayesoma maandiko ya [[Plato]] au vitabu vya [[Agano Jipya]] katika lugha asilia ataona matataizo akija Ugiriki na kuwasikia Wagiriki wa leo hata kama anaweza kusoma maandishi yote hataelewa mengi.
 
== MaanaMatimizi ya namba ==
Kila herufi ilikuwa pia na matumizi kama [[tarakimu]] ya [[namba]] kwa sababu Wagiriki wa Kale hawakuwa na alama za pekee za namba. Herufi tatu za kihistoria ambazo hazikutumiwa tena kwa maandishi ziliendleaziliendelea kama alama za namba yaani Wau au Stigma = 6 (alama ς), Heta = 8, San, Sho au Koppa = 90 (alama ϙ au ϟ) na Sampi = 900 (alama ͳ au ϡ au kama kwenye sanduku).
 
Kwa kutofautisha herufi na namba alama yake ilipewa mstari mdogo juu yake kama αʹ = 1, βʹ = 2, γʹ = 3. Kwa namba kuanzia 1,000 mstari upande wa kushoto uliongezwa, kwa mfano ͵α = 1,000, ͵β = 2000, ͵βηʹ = 2008.