Inter-territorial Language (Swahili) committee : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 17:
 
Ofisi ya kamati ilikuwepo Dar es Salaam ikahamia [[Nairobi]] mwaka 1943 halafu [[Makerere]] mwaka 1952 baadaye kwa muda mfupi kwenda [[Mombasa]]. Tangu 1963 ofisi ilirudishwa Dar es Salaam na tangu 1964 ikawa chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa jina la Chuo cha Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili (Institute of Kiswahili Language Research). Tangu 1970 imekuwa taasisi kamili ya Chuo Kikuu.
majugu ya kamati ya kiswahili ya afrika mashariki
 
==Kamusi za kamati==