Tabianchi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
masahihisho ya lugha |
kuondoa kosa |
||
Mstari 1:
[[Image:ClimateMap World.png|thumb|350px|Ramani ya dunia inayoonyesha kanda za tabianchi kuanzia ikweta: tropiki, yabisi, wastani, kibara na baridi.</center>]]
'''Tabianchi''' inamaanisha jumla ya [[halijoto]], [[unyevuanga]], [[kanieneo ya angahewa]], [[upepo]], [[usimbishaji]] na tabia nyingine zinazoathiri [[hali ya hewa]] katika sehemu fulani ya uso wa
Tabianchi inaathiriwa sana na latitudo yaani umbali na ikweta penye mnururisho mwingi wa jua, uso wa nchi, kimo, kuwa karibu au mbali na magimba ya maji na [[mikondo ya bahari]].
==Ufafanuzi wa tabianchi
Tabianchi huangaliwa hasa katika sayansi za [[metorolojia]] na [[jiografia]] lakini kuna pia tawi la [[fizikia]] linaloichungulia. Kutokana na mitazamo tofauti ya sayansi hizi kuna pia ufafanuzi tofauti kuhusu tabianchi.
|