Harun ar-Rashid : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:(ar-Rashid) dirham 170h.jpg|thumbnail|[[Sarafu]] ya [[Dirham]] yenye [[jina]] la Harun ar-Rashid.]]
[[Picha:Harun Al-Rashid and the World of the Thousand and One Nights.jpg|thumbnail|[[Picha]] ya Harun ar-Rashid katika [[kitabu]] cha [[Alfu Lela U Lela]] (si [[sura]] halisi maana ilichorwa [[karne]] kadhaa baadaye).]]
'''Harun ar-Rashid''' (kwa [[ar.Kiarabu]] ‏ هارون الرشيد‎) alikuwa [[khalifa]] wa tano wa [[nasaba]] ya [[Waabbasi]] aliyetawala [[milki]] kubwa ya Kiislamu (zaidi ya [[Iran]], [[Iraq]], [[Saudi Arabia]], [[Syria]] na [[Afrika Kaskazini]]) kati ya miaka [[786]] hadi [[809]] [[BK.]].
 
==Maisha==
Alizaliwa mjini[[mji]]ni [[Ray]] ([[Uajemi]]) alikufaakafariki mjini [[Tus]] (Uajemi) wakati wa [[vita]] dhidi ya [[waasi]].
 
Kipindi chake cha [[utawala]] kilikuwa na [[maendeleo]] makubwa ya [[elimu]] na [[utamaduni]]. [[Sanaa ya Kiislamu]] (ikiwa pamoja na [[muziki]]) ilistawi.
Kipindi chake cha utawala kilikuwa na maendeleo makubwa ya kielimu na kiutamaduni. Sanaa ya Kiislamu pamoja na muziki ilistawi. Alianzisha Dar-al-Hikma (nyumba ya hekima) mjini [[Baghdad]] iliyokuwa kama chuo kikuu ambako vitabu vingi vilitafsiriwa kwa lugha ya Kiarabu kutoka [[Kigiriki]], [[Kichina]], [[Kisanskrit]], [[Kiajemi]] na [[Kiaramu]] (Syriac). Kwa njia hii Baghdad ilikuwa kitovu cha elimu cha kimtaifa wakati huu.
 
Kipindi chake cha utawala kilikuwa na maendeleo makubwa ya kielimu na kiutamaduni. Sanaa ya Kiislamu pamoja na muziki ilistawi. Alianzisha Dar-al-Hikma (nyumbayaani [[Nyumba]] ya [[hekima]]) mjini [[Baghdad]] iliyokuwa kama [[chuo kikuu]] ambako vitabu vingi vilitafsiriwa kwa [[lugha]] ya Kiarabu kutoka [[Kigiriki]], [[Kichina]], [[Kisanskrit]], [[Kiajemi]] na [[Kiaramu]] (Syriac). Kwa njia hiihiyo Baghdad ilikuwa [[kitovu]] cha elimu cha kimtaifakimataifa wakati huuhuo.
Harun alituma balozi kwenda hadi [[China]] na pia kwa Kaisari [[Karolo Mkuu]] wa [[Dola Takatifu la Kiroma]].
 
Harun alituma [[balozi]] kwenda hadi [[China]] na pia kwa [[Kaisari]] [[Karolo Mkuu]] wa [[Dola Takatifu la Kiroma]].
Mwaka 796 Harun ar-Rashid alihamisha mji mkuu wake kutoka Baghdad kwenda [[Raqqa]] katika Syria.
 
Mwaka [[796]] Harun ar-Rashid alihamisha [[mji mkuu]] wake kutoka Baghdad kwenda [[Raqqa]] katika [[Syria]].
Alikumbukwa kama mtu wa hekima kubwa akionekana hivyo katika hadithi za [[Alfu Lela U Lela]].
 
AlikumbukwaAnakumbukwa kama mtu wa hekima kubwa, akionekana hivyo katika [[hadithi]] za [[Alfu Lela U Lela]].
 
==Vitabu juu ya Harun ar-Rashid==
==Further reading==
*[[al-Masudi]], [[The Meadows of Gold]], The Abbasids, transl. Paul Lunde and Caroline Stone, Kegan paul, London and New York, 1989
*[[Muhammad ibn Jarir al-Tabari|al-Tabari]] "The History of al-Tabari" volume XXX "The 'Abbasid Caliphate in Equilibrium" transl. C.E. Bosworth, SUNY, Albany, 1989.
Line 25 ⟶ 27:
*{{cite book|last=Norwich| first=John J. | title=Byzantium: The Apogee | publisher=Alfred A. Knopf, Inc. | year=1991 | isbn=0-394-53779-3 }}
* {{cite book | last=Zabeth | first=Hyder Reza | title=Landmarks of Mashhad | publisher=Alhoda UK | year=1999 | isbn=964-444-221-0}}
 
The starting statement that he was the fifth Arab Abbasid Caliph that encompassed modern Iraq is very incomplete because abbaside caliphate during haroon's reign encompassed at least modern day Iran, Iraq, Saudi Arabia, Syria and parts of northern Africa.
[[Jamii:Mahalifa]]
[[Jamii:Watu wa Iran]]
[[Jamii:Historia ya Uislamu]]
[[Jamii:Historia ya Iran]]