Sopa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
Mstari 2:
pembezoni mwa kijiji,iliyokuwa ikitokea lusaka,kupita tatanda na kukatisha sopa kuelekea kasanga [tanganyika]
njia hiyo iliweza kutumiwa na wakazi tofauti ,awali ya yote kijiji kiliitwa SOTE,baada ya kuzoeleka na wakazi au wajeruman ndipo kijiji kuitwa sopa .Wajerumani walizoea kuitumia njia na kuweza kuipamba kwa jina la sopa ,wajerumani waliitumia njia hiyo katika karne ya 18,baada ya hapo ndio kijiji hicho kuitwa sopa,Kijiji cha sopa kinapatikana Tanzania mkoa wa Rukwa wilaya ya sumbawanga.
 
Baada ya mwaka 2002 hesabu ya sensa katika kijiji hicho ilifanyika na kuweza kupata idadi ya wakazi18,141 wa kijiji hicho, kijiji hicho kilitawaliwa na viongozi tofauti akiwemo Alfredy Mwanga Sokoni,kata ya sopa ina jumla ya vijiji saba [7]kama vile sopa,Mtuntumbe, Kasitu,Tatanda,Ilambila,Kalaela na Kamawe ,Kata ya sopa inaongozwa na kiongozi wa mda Mh,Alfredy Mwanga Sokoni diwani wa kata hiyo ,kata ya sopa ina jumla ya sekondari 2,ikiwemo Ulungu inapatikana kijiji cha tatanda, pia shule ya sekondari kanyele inapatikana kijiji cha sopa, tamaduni ya wakazi wa kata ya sopa ni wafipa wanaotumia lugha ya kifipa katika mawasiliano.