Ujuzi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Francis Bacon.jpg|thumbnail|
'''Ujuzi''' maana yake ni kufahamu, kujua na kuelewa [[hali]], [[habari]] na maelezo yanayohusu [[mazingira]] tunapoishi. Tunapata ujuzi kwa [[maarifa]] yetu au kwa njia ya kufundishwa tukitazama, kutambua, kulinganisha na kutafakari yale tuliyoona na kujifunza.
Kimsingi tunaona [[tofauti]] kati ya ujuzi na [[rai]] au [[hoja]] tupu. Rai na hoja zinakuja pamoja na [[hisia]] na maarifa ambayo mara nyingi
Katika [[falsafa]] elimu jinsi ya kupata ujuzi huitwa [[epistomolojia]]. Mwanafalsafa [[Plato]] alieleza ujuzi kuwa "rai ya kweli yenye msingi mzuri" (englisch justified true belief).
{{mbegu}}
[[Jamii:Falsafa]]
[[Jamii:Elimu]]
|